Recent Posts

Follow Us on Facebook

Pictures

Entertainment

Latest News

issai ibungu - yanini malumbano ft. 20 percent lyrics

Dgangster54     04:33:00     0

 **Yanini Malumbano – Lyrics (brackets removed)**


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Kisa na mkasa yalionikuta Dar,

Subiri kwanza machozi nafuta

Nikikumbuka juzi nilipopataga,

Msichana mrembo mtam’ kama amabatata


Nilivyo pata nilidhani nimepata kumbe nimepatikana

Mitaa ya kati sasa sitaki kupita, mwenzenu mi naona noma

Umalaya chart kashika, anagawa kwa kila rika

Umalaya chart kashika, anagawa kwa kila rika


Ebu shika talaka nendaaa nendaa nenda

Mambo uliyotenda, kuyavumilia nimeshindwa

Nendaaa, nendaaa, nenda hata kama zamani nilipenda


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Mengi nimevumilia, hayapungui yanazidia

Hivi kwanini my dear ama haujui kwamba naumia

Pombe kichwani umeingia, eti saa nzima walia

Mimi gheto nishajilalia, kitandani ukatapikia


Kigezo sikukupenda, eti kupenda nisikopendwa

Sasa kwanini unanitenda au ndo malipo ya kukupenda wewe

Nisichopinga ni kwamba ukweli nilikupenda wewe

Nilichoshindwa ni kuvumilia unayotenda baibe


Nendaaa, nendaaa, nenda hata kama zamani nilipenda


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Yanini malumbano, yanini maneno?

Najiweka pembeni naipusha msongamano

Bora nitulie, ningoje changu na mie

Mollah nijalie haya yasijirudie


Washkaji walinambia kwamba “demu nikiruka njia”

Nilidhani wamenipangia kunitania nikapuuzia

Chezo lilipoanza nilidanganyaga naenda Mwanza

Kurudi kitu cha kushangaza, nakuta kidume kimejilaza gheto


Nendaaa, nendaaa, nenda aeh

Ebu shika talaka nenda, baby gal baby nenda

Mambo uliyotenda, kuyavumilia nimeshindwa mie

Nendaaa, nendaaa, nenda hata kama zamani nilipenda


Share:
«
Next
»
Back

0 comments:

New items below

Welcome!

simplify your study time. you can find most of things you might need for your self study here.

  • you can use the search box on the right side
  • or you can navigate below
  • feel free to contact us if you are having problems, requests or queries.

    DISCLAIMER

    Although www.mwanachuoTz.com tries to maintain credible materials from various sources, it cannot take responsibility about the correctness of the information and hence request the user who would like to use these materials...read more

    USEFUL LINKS

    OPPORTUNITIES